Zaburi 56:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nimefungwa na nadhiri nilizokuwekea, Ee Mungu;+Nitakutolea matoleo ya shukrani.+ Zaburi 116:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitamtimizia Yehova nadhiri zanguMbele ya watu wake wote.+ Mhubiri 5:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu,+ usikawie kuitimiza, kwa maana hapendezwi na wapumbavu.+ Unapoweka nadhiri, itimize.+ 5 Ni afadhali usiweke nadhiri kuliko kuweka nadhiri na kukosa kuitimiza.+
4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu,+ usikawie kuitimiza, kwa maana hapendezwi na wapumbavu.+ Unapoweka nadhiri, itimize.+ 5 Ni afadhali usiweke nadhiri kuliko kuweka nadhiri na kukosa kuitimiza.+