Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 56:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nimefungwa na nadhiri nilizokuwekea, Ee Mungu;+

      Nitakutolea matoleo ya shukrani.+

  • Zaburi 116:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitamtimizia Yehova nadhiri zangu

      Mbele ya watu wake wote.+

  • Mhubiri 5:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu,+ usikawie kuitimiza, kwa maana hapendezwi na wapumbavu.+ Unapoweka nadhiri, itimize.+ 5 Ni afadhali usiweke nadhiri kuliko kuweka nadhiri na kukosa kuitimiza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki