Kumbukumbu la Torati 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Ukiweka nadhiri kwa Yehova Mungu wako,+ usikawie kuitimiza.+ Kwa maana Yehova Mungu wako kwa hakika atakudai; la sivyo, utakuwa umetenda dhambi.+ Zaburi 76:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wekeni nadhiri zenu kwa Yehova Mungu wenu na kuzitimiza,+Wote wanaomzunguka na walete zawadi yao kwa woga.+ Mathayo 5:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Tena mlisikia kwamba zamani watu waliambiwa: ‘Usikose kutimiza kiapo chako,+ unapaswa kutimiza nadhiri zako kwa Yehova.’*+
21 “Ukiweka nadhiri kwa Yehova Mungu wako,+ usikawie kuitimiza.+ Kwa maana Yehova Mungu wako kwa hakika atakudai; la sivyo, utakuwa umetenda dhambi.+
11 Wekeni nadhiri zenu kwa Yehova Mungu wenu na kuzitimiza,+Wote wanaomzunguka na walete zawadi yao kwa woga.+
33 “Tena mlisikia kwamba zamani watu waliambiwa: ‘Usikose kutimiza kiapo chako,+ unapaswa kutimiza nadhiri zako kwa Yehova.’*+