2 Mambo ya Nyakati 32:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na watu wengi wakamletea Yehova zawadi huko Yerusalemu na kumletea Mfalme Hezekia wa Yuda vitu bora,+ naye akaheshimiwa sana na mataifa yote baada ya mambo hayo. Zaburi 89:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mungu anaogopwa katika baraza* la watakatifu;+Yeye ni mtukufu na mwenye kuogopesha kwa wote wanaomzunguka.+
23 Na watu wengi wakamletea Yehova zawadi huko Yerusalemu na kumletea Mfalme Hezekia wa Yuda vitu bora,+ naye akaheshimiwa sana na mataifa yote baada ya mambo hayo.
7 Mungu anaogopwa katika baraza* la watakatifu;+Yeye ni mtukufu na mwenye kuogopesha kwa wote wanaomzunguka.+