Mambo ya Walawi 19:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Mnapaswa kutumia mizani sahihi, vipimo sahihi, kipimo sahihi cha vitu vikavu,* na kipimo sahihi cha vitu vya majimaji.*+ Mimi ni Yehova Mungu wenu niliyewatoa katika nchi ya Misri.
36 Mnapaswa kutumia mizani sahihi, vipimo sahihi, kipimo sahihi cha vitu vikavu,* na kipimo sahihi cha vitu vya majimaji.*+ Mimi ni Yehova Mungu wenu niliyewatoa katika nchi ya Misri.