6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu, na Yehova Mungu wenu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali yake ya pekee,* kutoka kati ya mataifa yote yaliyo duniani.+
28“Nanyi kwa hakika mkiisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote ninazowaamuru leo, kwa hakika Yehova Mungu wenu atawakweza juu ya mataifa mengine yote ya dunia.+
9 Yehova atawafanya kuwa taifa lake takatifu,+ kama alivyowaapia,+ kwa sababu mnaendelea kushika amri za Yehova Mungu wenu na kutembea katika njia zake.