-
Kumbukumbu la Torati 26:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Na leo mmemtangazia Yehova kwamba mtakuwa watu wake, mali yake ya pekee,*+ kama alivyowaahidi, na kwamba mtashika amri zake zote 19 na kwamba atawakweza juu ya mataifa mengine yote ambayo ameyatokeza,+ akiwapa sifa na umaarufu na utukufu mnapothibitisha kwamba ninyi ni taifa takatifu kwa Yehova Mungu wenu,+ kama alivyoahidi.”
-