Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ni lazima utimize wajibu wako kwa Yehova Mungu wako kwa kutembea katika njia zake na kushika maagizo yake, amri zake, sheria zake,* na vikumbusho vyake kama vilivyoandikwa katika Sheria ya Musa;+ ndipo utakapofanikiwa* katika kila jambo unalofanya na kila mahali unapogeuka kwenda.

  • Mathayo 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniuliza kuhusu mambo mema? Kuna Mmoja tu aliye mwema.+ Hata hivyo, ikiwa unataka kuingia katika uzima, zishike amri sikuzote.”+

  • 1 Yohana 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana kumpenda Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki