Mambo ya Walawi 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Usimtukane* kiziwi wala kuweka kizuizi mbele ya kipofu,+ nawe ni lazima umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.
14 “‘Usimtukane* kiziwi wala kuweka kizuizi mbele ya kipofu,+ nawe ni lazima umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.