Mambo ya Walawi 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hakuna yeyote kati yenu anayepaswa kumpunja mwenzake,+ ni lazima mmwogope Mungu wenu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.+ Nehemia 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini magavana walionitangulia waliwalemea watu, kila siku walichukua kutoka kwao shekeli 40 za fedha* kwa ajili ya mkate na divai. Pia, watumishi wao waliwakandamiza watu. Lakini mimi sikufanya hivyo+ kwa sababu nilimwogopa Mungu.+ Methali 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumwogopa* Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Ni wapumbavu tu wanaodharau hekima na nidhamu.+ Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+ Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+ 1 Petro 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,*+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+
17 Hakuna yeyote kati yenu anayepaswa kumpunja mwenzake,+ ni lazima mmwogope Mungu wenu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.+
15 Lakini magavana walionitangulia waliwalemea watu, kila siku walichukua kutoka kwao shekeli 40 za fedha* kwa ajili ya mkate na divai. Pia, watumishi wao waliwakandamiza watu. Lakini mimi sikufanya hivyo+ kwa sababu nilimwogopa Mungu.+
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+ Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+
17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,*+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+