Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hakuna yeyote kati yenu anayepaswa kumpunja mwenzake,+ ni lazima mmwogope Mungu wenu,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.+

  • Nehemia 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini magavana walionitangulia waliwalemea watu, kila siku walichukua kutoka kwao shekeli 40 za fedha* kwa ajili ya mkate na divai. Pia, watumishi wao waliwakandamiza watu. Lakini mimi sikufanya hivyo+ kwa sababu nilimwogopa Mungu.+

  • Methali 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kumwogopa* Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+

      Ni wapumbavu tu wanaodharau hekima na nidhamu.+

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+

      Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+

  • 1 Petro 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,*+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki