Mambo ya Walawi 19:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “‘Unapaswa kuinuka mbele ya kichwa chenye mvi,+ na ni lazima umheshimu mzee,+ nawe lazima umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova. Waroma 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Katika upendo wa kindugu iweni na upendo mwororo kwa mtu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima, iweni wa kwanza.*+ Waroma 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wapeni wote haki zao: yule anayetaka kodi, kodi;+ yule anayetaka ushuru, ushuru; yule anayetaka woga, woga huo;+ yule anayetaka heshima, heshima hiyo.+
32 “‘Unapaswa kuinuka mbele ya kichwa chenye mvi,+ na ni lazima umheshimu mzee,+ nawe lazima umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.
10 Katika upendo wa kindugu iweni na upendo mwororo kwa mtu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima, iweni wa kwanza.*+
7 Wapeni wote haki zao: yule anayetaka kodi, kodi;+ yule anayetaka ushuru, ushuru; yule anayetaka woga, woga huo;+ yule anayetaka heshima, heshima hiyo.+