Mathayo 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wakajibu: “Ni ya Kaisari.” Ndipo akawaambia: “Basi, mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari, na Mungu vitu vya Mungu.”+ Marko 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Yesu akasema: “Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari,+ na Mungu vitu vya Mungu.”+ Nao wakashangazwa naye. Luka 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Akawaambia: “Basi mlipeni Kaisari+ vitu vya Kaisari, na Mungu vitu vya Mungu.”+
21 Wakajibu: “Ni ya Kaisari.” Ndipo akawaambia: “Basi, mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari, na Mungu vitu vya Mungu.”+
17 Ndipo Yesu akasema: “Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari,+ na Mungu vitu vya Mungu.”+ Nao wakashangazwa naye.