Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 3:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ikiwa ni lazima iwe hivyo, Mungu wetu tunayemtumikia anaweza kutuokoa kutoka katika tanuru hilo lenye moto mkali, Ee mfalme, na kutuokoa kutoka mikononi mwako.+ 18 Lakini hata asipotuokoa, Ee mfalme, ujue kwamba hatutaiabudu miungu yako wala kuabudu sanamu ya dhahabu uliyosimamisha.”+

  • Malaki 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Je, mwanadamu anaweza kumwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia.”

      Nanyi mnauliza: “Tumekuibia jinsi gani?”

      “Katika sehemu za kumi na michango.

  • Marko 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo Yesu akasema: “Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari,+ na Mungu vitu vya Mungu.”+ Nao wakashangazwa naye.

  • Luka 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Akawaambia: “Basi mlipeni Kaisari+ vitu vya Kaisari, na Mungu vitu vya Mungu.”+

  • Luka 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo wakaanza kumshtaki,+ wakisema: “Tulimkuta mtu huyu akipindua taifa letu na kuwakataza watu wasimlipe Kaisari kodi,+ akisema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo mfalme.”+

  • Waroma 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wapeni wote haki zao: yule anayetaka kodi, kodi;+ yule anayetaka ushuru, ushuru; yule anayetaka woga, woga huo;+ yule anayetaka heshima, heshima hiyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki