Waroma 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wapeni wote haki zao: yule anayetaka kodi, kodi;+ yule anayetaka ushuru, ushuru; yule anayetaka woga, woga huo;+ yule anayetaka heshima, heshima hiyo.+ Tito 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Endelea kuwakumbusha wajitiishe na kuzitii serikali na mamlaka,+ wawe tayari kwa ajili ya kila kazi njema, 1 Petro 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu,*+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa
7 Wapeni wote haki zao: yule anayetaka kodi, kodi;+ yule anayetaka ushuru, ushuru; yule anayetaka woga, woga huo;+ yule anayetaka heshima, heshima hiyo.+
3 Endelea kuwakumbusha wajitiishe na kuzitii serikali na mamlaka,+ wawe tayari kwa ajili ya kila kazi njema,
13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu,*+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa