Waroma 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kila mtu na ajitiishe* kwa mamlaka zilizo kubwa,+ kwa maana hakuna mamlaka isipokuwa kupitia Mungu;+ mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu katika vyeo vyao vya kadiri.+ Waefeso 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Enyi watumwa, watiini mabwana wenu wanadamu,*+ kwa kuogopa na kutetemeka kwa unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo, Tito 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Endelea kuwakumbusha wajitiishe na kuzitii serikali na mamlaka,+ wawe tayari kwa ajili ya kila kazi njema,
13 Kila mtu na ajitiishe* kwa mamlaka zilizo kubwa,+ kwa maana hakuna mamlaka isipokuwa kupitia Mungu;+ mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu katika vyeo vyao vya kadiri.+
5 Enyi watumwa, watiini mabwana wenu wanadamu,*+ kwa kuogopa na kutetemeka kwa unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo,
3 Endelea kuwakumbusha wajitiishe na kuzitii serikali na mamlaka,+ wawe tayari kwa ajili ya kila kazi njema,