Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kila mtu na ajitiishe* kwa mamlaka zilizo kubwa,+ kwa maana hakuna mamlaka isipokuwa kupitia Mungu;+ mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu katika vyeo vyao vya kadiri.+

  • Waefeso 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Enyi watumwa, watiini mabwana wenu wanadamu,*+ kwa kuogopa na kutetemeka kwa unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo,

  • Tito 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Endelea kuwakumbusha wajitiishe na kuzitii serikali na mamlaka,+ wawe tayari kwa ajili ya kila kazi njema,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki