1 Timotheo 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Acheni wale walio chini ya nira ya utumwa waendelee kuwaheshimu kikamili+ mabwana wao, ili watu wasiseme vibaya kuhusu jina la Mungu na lile fundisho.+ 1 Petro 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Watumishi na wajitiishe kwa mabwana wao kwa woga unaofaa,+ si kwa wale tu walio wema na wapole, bali pia kwa wale ambao ni wagumu kupendeza.
6 Acheni wale walio chini ya nira ya utumwa waendelee kuwaheshimu kikamili+ mabwana wao, ili watu wasiseme vibaya kuhusu jina la Mungu na lile fundisho.+
18 Watumishi na wajitiishe kwa mabwana wao kwa woga unaofaa,+ si kwa wale tu walio wema na wapole, bali pia kwa wale ambao ni wagumu kupendeza.