Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Enyi watumwa, watiini mabwana wenu wanadamu,*+ kwa kuogopa na kutetemeka kwa unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo,

  • Wakolosai 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Enyi watumwa, watiini katika kila jambo wale ambao ni mabwana wenu wanadamu,*+ si wakati tu wanapowatazama, ili tu kuwapendeza wanadamu,* bali kwa unyoofu wa moyo, kwa kumwogopa Yehova.*

  • 1 Timotheo 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Acheni wale walio chini ya nira ya utumwa waendelee kuwaheshimu kikamili+ mabwana wao, ili watu wasiseme vibaya kuhusu jina la Mungu na lile fundisho.+

  • Tito 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watumwa na wajinyenyekeze kwa mabwana wao katika mambo yote,+ wakijitahidi kuwapendeza, wasibishane nao,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki