22 Enyi watumwa, watiini katika kila jambo wale ambao ni mabwana wenu wanadamu,*+ si wakati tu wanapowatazama, ili tu kuwapendeza wanadamu,* bali kwa unyoofu wa moyo, kwa kumwogopa Yehova.*
6Acheni wale walio chini ya nira ya utumwa waendelee kuwaheshimu kikamili+ mabwana wao, ili watu wasiseme vibaya kuhusu jina la Mungu na lile fundisho.+