Waefeso 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Enyi watumwa, watiini mabwana wenu wanadamu,*+ kwa kuogopa na kutetemeka kwa unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo, 1 Timotheo 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Acheni wale walio chini ya nira ya utumwa waendelee kuwaheshimu kikamili+ mabwana wao, ili watu wasiseme vibaya kuhusu jina la Mungu na lile fundisho.+ 1 Petro 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Watumishi na wajitiishe kwa mabwana wao kwa woga unaofaa,+ si kwa wale tu walio wema na wapole, bali pia kwa wale ambao ni wagumu kupendeza.
5 Enyi watumwa, watiini mabwana wenu wanadamu,*+ kwa kuogopa na kutetemeka kwa unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo,
6 Acheni wale walio chini ya nira ya utumwa waendelee kuwaheshimu kikamili+ mabwana wao, ili watu wasiseme vibaya kuhusu jina la Mungu na lile fundisho.+
18 Watumishi na wajitiishe kwa mabwana wao kwa woga unaofaa,+ si kwa wale tu walio wema na wapole, bali pia kwa wale ambao ni wagumu kupendeza.