Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 6:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Enyi watumwa, watiini mabwana wenu wanadamu,*+ kwa kuogopa na kutetemeka kwa unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo, 6 si wakati tu mnapotazamwa, ili tu kuwapendeza wanadamu,*+ bali kama watumwa wa Kristo mkifanya mapenzi ya Mungu kwa nafsi* yote.+

  • Tito 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watumwa na wajinyenyekeze kwa mabwana wao katika mambo yote,+ wakijitahidi kuwapendeza, wasibishane nao,

  • 1 Petro 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Watumishi na wajitiishe kwa mabwana wao kwa woga unaofaa,+ si kwa wale tu walio wema na wapole, bali pia kwa wale ambao ni wagumu kupendeza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki