Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kisha Daudi akasema: “Yehova, aliyeniokoa kutoka katika makucha ya simba na ya dubu, ndiye atakayeniokoa kutoka mikononi mwa Mfilisti huyo.”+ Ndipo Sauli akamwambia Daudi: “Nenda, na Yehova awe pamoja nawe.”

  • Zaburi 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.

      Nimwogope nani?+

      Yehova ni ngome ya uhai wangu.+

      Nimhofu nani?

  • Isaya 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+

      Nitamtumaini nami sitaogopa;+

      Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,

      Naye amekuwa wokovu wangu.”+

  • Danieli 6:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yeye huokoa,+ naye hufanya ishara na maajabu mbinguni na duniani,+ kwa sababu alimwokoa Danieli kutoka katika makucha ya simba.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki