1 Samweli 17:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kisha Daudi akasema: “Yehova, aliyeniokoa kutoka katika makucha ya simba na ya dubu, ndiye atakayeniokoa kutoka mikononi mwa Mfilisti huyo.”+ Ndipo Sauli akamwambia Daudi: “Nenda, na Yehova awe pamoja nawe.” Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani? Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+ Danieli 6:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeye huokoa,+ naye hufanya ishara na maajabu mbinguni na duniani,+ kwa sababu alimwokoa Danieli kutoka katika makucha ya simba.”
37 Kisha Daudi akasema: “Yehova, aliyeniokoa kutoka katika makucha ya simba na ya dubu, ndiye atakayeniokoa kutoka mikononi mwa Mfilisti huyo.”+ Ndipo Sauli akamwambia Daudi: “Nenda, na Yehova awe pamoja nawe.”
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani?
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+
27 Yeye huokoa,+ naye hufanya ishara na maajabu mbinguni na duniani,+ kwa sababu alimwokoa Danieli kutoka katika makucha ya simba.”