Kumbukumbu la Torati 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Haki—mnapaswa kufuatia haki,+ ili mwendelee kuishi na kumiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa ninyi. Methali 17:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mtu mwovu atachukua rushwa kwa siri*Ili apotoshe njia ya haki.+ Mika 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+
20 Haki—mnapaswa kufuatia haki,+ ili mwendelee kuishi na kumiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa ninyi.
11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+