Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Haki—mnapaswa kufuatia haki,+ ili mwendelee kuishi na kumiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa ninyi.

  • Methali 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mtu mwovu atachukua rushwa kwa siri*

      Ili apotoshe njia ya haki.+

  • Mika 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+

      Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+

      Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+

      Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema:

      “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+

      Hakuna msiba utakaotupata.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki