7 “Ila tu uwe jasiri na imara kabisa, na ufuate kwa uangalifu Sheria yote kama Musa mtumishi wangu alivyokuamuru. Usiende kushoto wala kulia,+ ili utende kwa hekima mahali popote utakapoenda.+
21 Na masikio yako mwenyewe yatasikia neno nyuma yako likisema, “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” ikiwa mtaenda upande wa kulia au mtaenda upande wa kushoto.+