Mambo ya Walawi 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Lakini msiponisikiliza au kushika amri hizo zote,+ Mambo ya Walawi 26:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitawakataa,* nanyi mtashindwa na maadui wenu;+ na wale wanaowachukia ninyi watawakanyaga-kanyaga,+ nanyi mtakimbia bila kukimbizwa na mtu.+ 1 Samweli 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Wafilisti wakapigana nao, na Waisraeli wakashindwa,+ na kila mmoja wao akakimbilia katika hema lake. Yalikuwa mauaji makubwa sana; wanajeshi 30,000 wa Israeli wanaotembea kwa miguu waliuawa.
17 Nitawakataa,* nanyi mtashindwa na maadui wenu;+ na wale wanaowachukia ninyi watawakanyaga-kanyaga,+ nanyi mtakimbia bila kukimbizwa na mtu.+
10 Basi Wafilisti wakapigana nao, na Waisraeli wakashindwa,+ na kila mmoja wao akakimbilia katika hema lake. Yalikuwa mauaji makubwa sana; wanajeshi 30,000 wa Israeli wanaotembea kwa miguu waliuawa.