Amosi 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu mnamdai maskini kodi ya* shambaNanyi mnachukua nafaka yake kama ushuru,+Hamtaendelea kuishi katika nyumba mlizojenga kwa mawe yaliyochongwa+Wala hamtakunywa divai kutoka katika mashamba bora ya mizabibu mliyopanda.+ Mika 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Utapanda mbegu, lakini hutavuna. Utakanyaga-kanyaga zeituni, lakini hutatumia mafuta yake;Nawe utatengeneza divai mpya, lakini hutakunywa divai hata kidogo.+
11 Kwa sababu mnamdai maskini kodi ya* shambaNanyi mnachukua nafaka yake kama ushuru,+Hamtaendelea kuishi katika nyumba mlizojenga kwa mawe yaliyochongwa+Wala hamtakunywa divai kutoka katika mashamba bora ya mizabibu mliyopanda.+
15 Utapanda mbegu, lakini hutavuna. Utakanyaga-kanyaga zeituni, lakini hutatumia mafuta yake;Nawe utatengeneza divai mpya, lakini hutakunywa divai hata kidogo.+