Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Mtapanda mbegu nyingi shambani, lakini mtavuna mazao machache,+ kwa sababu nzige watayala.⁠

  • Yeremia 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wamepanda ngano, lakini wamevuna miiba.+

      Wamejichosha wenyewe, lakini hawajapata faida yoyote.

      Wataona aibu kwa sababu ya mazao yao

      Kwa sababu ya hasira ya Yehova inayowaka.”

  • Yoeli 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mashamba yameharibiwa, ardhi inaomboleza;+

      Kwa kuwa nafaka imeharibiwa, divai mpya imekauka, mafuta yametoweka.+

  • Amosi 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa sababu mnamdai maskini kodi ya* shamba

      Nanyi mnachukua nafaka yake kama ushuru,+

      Hamtaendelea kuishi katika nyumba mlizojenga kwa mawe yaliyochongwa+

      Wala hamtakunywa divai kutoka katika mashamba bora ya mizabibu mliyopanda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki