Kumbukumbu la Torati 28:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Mtapanda mbegu nyingi shambani, lakini mtavuna mazao machache,+ kwa sababu nzige watayala. Yeremia 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wamepanda ngano, lakini wamevuna miiba.+ Wamejichosha wenyewe, lakini hawajapata faida yoyote. Wataona aibu kwa sababu ya mazao yaoKwa sababu ya hasira ya Yehova inayowaka.” Yoeli 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mashamba yameharibiwa, ardhi inaomboleza;+Kwa kuwa nafaka imeharibiwa, divai mpya imekauka, mafuta yametoweka.+ Amosi 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu mnamdai maskini kodi ya* shambaNanyi mnachukua nafaka yake kama ushuru,+Hamtaendelea kuishi katika nyumba mlizojenga kwa mawe yaliyochongwa+Wala hamtakunywa divai kutoka katika mashamba bora ya mizabibu mliyopanda.+
13 Wamepanda ngano, lakini wamevuna miiba.+ Wamejichosha wenyewe, lakini hawajapata faida yoyote. Wataona aibu kwa sababu ya mazao yaoKwa sababu ya hasira ya Yehova inayowaka.”
10 Mashamba yameharibiwa, ardhi inaomboleza;+Kwa kuwa nafaka imeharibiwa, divai mpya imekauka, mafuta yametoweka.+
11 Kwa sababu mnamdai maskini kodi ya* shambaNanyi mnachukua nafaka yake kama ushuru,+Hamtaendelea kuishi katika nyumba mlizojenga kwa mawe yaliyochongwa+Wala hamtakunywa divai kutoka katika mashamba bora ya mizabibu mliyopanda.+