Hesabu 32:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hivyo Musa akawapa—wana wa Gadi, wana wa Rubeni,+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu—ufalme wa Sihoni+ mfalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mfalme wa Bashani, maeneo hayo na majiji yaliyokuwemo na pia majiji jirani. Zaburi 135:10-12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Aliyaangamiza mataifa mengi+Na kuwaua wafalme hodari+11 —Sihoni mfalme wa Waamori,+Ogu mfalme wa Bashani,+Na falme zote za Kanaani. 12 Aliitoa nchi yao kuwa urithi,Urithi kwa watu wake Waisraeli.+
33 Hivyo Musa akawapa—wana wa Gadi, wana wa Rubeni,+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu—ufalme wa Sihoni+ mfalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mfalme wa Bashani, maeneo hayo na majiji yaliyokuwemo na pia majiji jirani.
10 Aliyaangamiza mataifa mengi+Na kuwaua wafalme hodari+11 —Sihoni mfalme wa Waamori,+Ogu mfalme wa Bashani,+Na falme zote za Kanaani. 12 Aliitoa nchi yao kuwa urithi,Urithi kwa watu wake Waisraeli.+