Mambo ya Walawi 26:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nitakapoharibu hifadhi yenu ya* mikate,+ wanawake kumi wataoka mikate kwenye jiko moja tu na kuwapimia mikate kwa mizani;+ nanyi mtakula lakini hamtashiba.+ Yeremia 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitatoa mali zako na hazina zako ili ziporwe,+Bila malipo, kwa sababu ya dhambi zako zote katika maeneo yako yote.
26 Nitakapoharibu hifadhi yenu ya* mikate,+ wanawake kumi wataoka mikate kwenye jiko moja tu na kuwapimia mikate kwa mizani;+ nanyi mtakula lakini hamtashiba.+
13 Nitatoa mali zako na hazina zako ili ziporwe,+Bila malipo, kwa sababu ya dhambi zako zote katika maeneo yako yote.