16 basi, mimi nitawatendea mambo haya: nitawaadhibu kwa taabu, kwa kifua kikuu na homa kali, na kufanya macho yenu yadhoofike na uhai wenu uzorote.* Mtapanda mbegu zenu bure, kwa maana maadui wenu watazila.+
36 “‘Nitajaza hisia ya kukata tamaa mioyoni mwa wale watakaobaki+ katika nchi za maadui wao; na sauti ya jani linalopeperushwa na upepo itawafanya wakimbie, nao watakimbia kama mtu anayeukimbia upanga na kuanguka bila kukimbizwa na yeyote.+