Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huo tulimiliki nchi hii: kuanzia Aroeri,+ karibu na Bonde* la Arnoni, na nusu ya eneo lenye milima la Gileadi, na majiji yake nimewapa watu wa kabila la Rubeni na kabila la Gadi.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:47, 48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Nao wakaimiliki nchi yake na nchi ya Mfalme Ogu+ wa Bashani, wafalme wawili wa Waamori waliokuwa katika eneo lililokuwa upande wa mashariki wa Yordani, 48 kuanzia Aroeri,+ kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, mpaka Mlima Sioni, yaani, Hermoni,+

  • Yoshua 13:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nusu iliyobaki ya kabila la Manase, pamoja na watu wa kabila la Rubeni na Gadi walichukua urithi wao waliopewa na Musa upande wa mashariki wa Yordani, kama tu Musa mtumishi wa Yehova alivyowapa:+ 9 kuanzia Aroeri,+ kwenye ukingo wa Bonde* la Arnoni,+ na jiji lililo katikati ya bonde hilo, na uwanda wote wa juu wa Medeba hadi Diboni;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki