Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na mpaka huo ukapanda hadi Debiri katika Bonde la* Akori+ na kugeuka kuelekea kaskazini hadi Gilgali,+ mbele ya njia inayopanda kuelekea Adumimu, ambayo iko upande wa kusini wa bonde la mto, kisha ukaendelea hadi kwenye chemchemi ya En-shemeshi+ na kufikia mwisho kule En-rogeli.+

  • Yoshua 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu*+ na pwani yake. Hiyo ndiyo iliyokuwa mipaka yote ya wazao wa Yuda kulingana na koo zao.

  • Isaya 65:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sharoni+ itakuwa malisho ya kondoo

      Na Bonde la* Akori+ mahali pa kupumzika pa ng’ombe,

      Kwa ajili ya watu wangu wanaonitafuta.

  • Hosea 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nitamrudishia mashamba yake ya mizabibu kuanzia wakati huo na kuendelea,+

      Na Bonde la* Akori+ liwe lango la tumaini;

      Atanijibu huko kama alivyofanya alipokuwa kijana,

      Kama siku aliyotoka katika nchi ya Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki