Yoshua 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini mjiepushe na kitu chochote kinachopaswa kuharibiwa,+ ili msikitamani kitu kinachopaswa kuharibiwa na kukichukua,+ msije mkaleta msiba* kwenye kambi ya Waisraeli.+ 1 Mambo ya Nyakati 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwana* wa Karmi alikuwa Akari,* aliyewaletea Waisraeli msiba,*+ ambaye alikosa uaminifu kuhusiana na kitu kilichopaswa kuharibiwa.+
18 Lakini mjiepushe na kitu chochote kinachopaswa kuharibiwa,+ ili msikitamani kitu kinachopaswa kuharibiwa na kukichukua,+ msije mkaleta msiba* kwenye kambi ya Waisraeli.+
7 Mwana* wa Karmi alikuwa Akari,* aliyewaletea Waisraeli msiba,*+ ambaye alikosa uaminifu kuhusiana na kitu kilichopaswa kuharibiwa.+