Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 msiwaogope.+ Mnapaswa kujikumbusha mambo ambayo Yehova Mungu wenu alimtendea Farao na nchi yote ya Misri,+

  • Kumbukumbu la Torati 31:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova ndiye anayepiga mwendo mbele yako, naye ataendelea kuwa pamoja nawe.+ Hatakutupa wala kukuacha. Usiogope wala usihofu.”+

  • Yoshua 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Je, si mimi niliyekuamuru uwe jasiri na imara? Basi uwe jasiri na imara. Usitetemeke wala kuogopa, kwa maana mimi Yehova Mungu wako nipo pamoja nawe mahali popote utakapoenda.”+

  • Isaya 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+

      Nitamtumaini nami sitaogopa;+

      Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,

      Naye amekuwa wokovu wangu.”+

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki