9“Sikilizeni, enyi Waisraeli, leo mnavuka Yordani+ na kuingia kumiliki nchi yenye mataifa makubwa zaidi na yenye nguvu zaidi kuliko ninyi,+ majiji makubwa na yenye ngome zinazofika mbinguni,*+
2 Baada ya siku tatu, viongozi+ walipita kambini 3 na kuwaamuru watu, “Mara tu mtakapoliona sanduku la agano la Yehova Mungu wenu likiwa limebebwa na makuhani Walawi,+ mwondoke na kulifuata,