Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:18-21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova alifanya agano+ pamoja na Abramu, akisema: “Nitaupa uzao wako* nchi hii,+ kuanzia mto wa Misri mpaka kwenye ule mto mkubwa, mto Efrati:+ 19 nchi ya Wakeni,+ Wakenizi, Wakadmoni, 20 Wahiti,+ Waperizi,+ Warefaimu,+ 21 Waamori, Wakanaani, Wagirgashi, na Wayebusi.”+

  • Kutoka 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo ninasema, nitawatoa katika mateso+ mnayopata mikononi mwa Wamisri na kuwapeleka katika nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori,+ Waperizi,+ Wahivi, na Wayebusi, nchi inayotiririka maziwa na asali.”’+

  • Kutoka 23:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana malaika wangu atawatangulia na kuwapeleka katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi, na Wayebusi, nami nitawaangamiza.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Yehova Mungu wenu atakapowaleta katika nchi mnayokaribia kuingia na kuimiliki,+ atayaondoa pia mataifa makubwa kutoka mbele yenu:+ Wahiti, Wagirgashi, Waamori,+ Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi,+ mataifa saba makubwa zaidi na yenye nguvu kuliko ninyi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki