24 Atawatia wafalme wa mataifa hayo mikononi mwenu,+ nanyi mtayafutilia mbali majina yao kutoka duniani.*+ Hakuna mtu atakayewazuia,+ mpaka mtakapowaangamiza.+
6 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Usiwaogope+ kwa sababu kesho, wakati kama huu, nitawatia wote mikononi mwa Waisraeli, nanyi mtawaangamiza. Mtakata mishipa ya miguu ya farasi wao,+ na kuyachoma moto magari yao.”