-
Yoshua 1:3-5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Nitawapa kila mahali mtakapokanyaga, kama nilivyomwahidi Musa.+ 4 Eneo lenu litaanzia nyikani mpaka kwenye Mlima Lebanoni hadi ule mto mkubwa, Efrati, yaani, nchi yote ya Wahiti,+ mpaka kwenye Bahari Kuu,* upande wa magharibi.*+ 5 Hakuna yeyote atakayekushinda sikuzote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Musa.+ Sitakutupa wala kukuacha.+
-