Kumbukumbu la Torati 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini katika majiji ya mataifa haya, ambayo Yehova Mungu wenu anawapa yawe urithi wenu, hampaswi kuacha hai kitu chochote kinachopumua.+ Yoshua 10:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yehova akalitia jiji la Lakishi mikononi mwa Waisraeli, nao wakaliteka siku ya pili. Wakalishambulia na kuwaangamiza wakaaji wote* kwa upanga,+ kama walivyofanya kule Libna.
16 Lakini katika majiji ya mataifa haya, ambayo Yehova Mungu wenu anawapa yawe urithi wenu, hampaswi kuacha hai kitu chochote kinachopumua.+
32 Yehova akalitia jiji la Lakishi mikononi mwa Waisraeli, nao wakaliteka siku ya pili. Wakalishambulia na kuwaangamiza wakaaji wote* kwa upanga,+ kama walivyofanya kule Libna.