31 “Nitaweka mpaka wenu kuanzia Bahari Nyekundu mpaka bahari ya Wafilisti na kuanzia nyikani mpaka kwenye Mto Efrati;+ kwa maana nitawatia wakaaji wa nchi hiyo mikononi mwenu, nanyi mtawafukuza kutoka mbele yenu.+
44 Yehova akawapa pia amani katika nchi yote, kama alivyowaapia mababu zao,+ na hakuna adui hata mmoja kati ya maadui wao wote aliyeweza kuwashinda.+ Yehova aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.+