7 Lakini sijafanya hivyo kuhusiana na mtumishi wangu Musa! Nimemkabidhi nyumba yangu yote.+ 8 Mimi huongea naye uso kwa uso,+ waziwazi, wala si kwa mafumbo; naye huona uwepo wangu, mimi Yehova. Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema vibaya kumhusu Musa, mtumishi wangu?”