30 Kisha Kalebu akajaribu kuwatuliza watu waliosimama mbele ya Musa kwa kuwaambia: “Twendeni mara moja, na bila shaka tutaimiliki, kwa maana kwa hakika tunaweza kuishinda.”+
6 Yoshua+ mwana wa Nuni na Kalebu+ mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwa watu walioipeleleza nchi, wakayararua mavazi yao, 7 na kuwaambia hivi Waisraeli wote: “Nchi tuliyoenda kuipeleleza ni nchi nzuri sana, nzuri kwelikweli.+