6 Nitaleta amani nchini,+ nanyi mtalala na hakuna yeyote atakayewaogopesha;+ nami nitawaondoa nchini wanyama wote wakali wa mwituni, na hakuna mtu yeyote atakayewashambulia kwa upanga katika nchi yenu.
23 Basi Yoshua akachukua nchi yote, kama Yehova alivyomwahidi Musa,+ Yoshua akawapa Waisraeli iwe urithi wao ili igawanywe kulingana na makabila yao.+ Nchi ikawa na amani bila vita.+