Yoshua 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Zela,+ Ha-elefu, Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea,+ na Kiriathi—majiji 14 na vijiji vyake. Huo ndio uliokuwa urithi wa wazao wa Benjamini kulingana na koo zao. Waamuzi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, mwanamume huyo hakutaka kulala huko tena, basi akaondoka na kusafiri mpaka Yebusi, yaani, Yerusalemu.+ Alikuwa na punda wake wawili wenye matandiko, suria wake, na mtumishi wake.
28 Zela,+ Ha-elefu, Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea,+ na Kiriathi—majiji 14 na vijiji vyake. Huo ndio uliokuwa urithi wa wazao wa Benjamini kulingana na koo zao.
10 Hata hivyo, mwanamume huyo hakutaka kulala huko tena, basi akaondoka na kusafiri mpaka Yebusi, yaani, Yerusalemu.+ Alikuwa na punda wake wawili wenye matandiko, suria wake, na mtumishi wake.