Hesabu 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ wazao wa Wanefili, tulijiona kuwa kama panzi mbele yao, na ndivyo walivyotuona.” Yoshua 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wakati huo, Yoshua aliwaangamiza kabisa Waanaki+ kutoka katika eneo lenye milima, Hebroni, Debiri, Anabu, na kutoka katika eneo lote lenye milima la Yuda na Israeli. Yoshua aliwaangamiza watu hao na majiji yao.+
33 Na huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ wazao wa Wanefili, tulijiona kuwa kama panzi mbele yao, na ndivyo walivyotuona.”
21 Wakati huo, Yoshua aliwaangamiza kabisa Waanaki+ kutoka katika eneo lenye milima, Hebroni, Debiri, Anabu, na kutoka katika eneo lote lenye milima la Yuda na Israeli. Yoshua aliwaangamiza watu hao na majiji yao.+