Mambo ya Walawi 27:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zaidi ya hayo, mtu yeyote aliyehukumiwa na kutengwa ili aangamizwe hawezi kukombolewa.+ Ni lazima auawe.+ Yoshua 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yoshua akayateka majiji yote ya wafalme hao na kuwashinda wafalme wote kwa upanga.+ Akawaangamiza,+ kama Musa mtumishi wa Yehova alivyoamuru. Yoshua 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Kisha mkavuka Yordani+ na kufika Yeriko.+ Nao viongozi* wa Yeriko, Waamori, Waperizi, Wakanaani, Wahiti, Wagirgashi, Wahivi, na Wayebusi wakapigana nanyi, lakini nikawatia mikononi mwenu.+
29 Zaidi ya hayo, mtu yeyote aliyehukumiwa na kutengwa ili aangamizwe hawezi kukombolewa.+ Ni lazima auawe.+
12 Yoshua akayateka majiji yote ya wafalme hao na kuwashinda wafalme wote kwa upanga.+ Akawaangamiza,+ kama Musa mtumishi wa Yehova alivyoamuru.
11 “‘Kisha mkavuka Yordani+ na kufika Yeriko.+ Nao viongozi* wa Yeriko, Waamori, Waperizi, Wakanaani, Wahiti, Wagirgashi, Wahivi, na Wayebusi wakapigana nanyi, lakini nikawatia mikononi mwenu.+