16 Yoshua aliiteka nchi hii yote: eneo lenye milima, eneo lote la Negebu,+ nchi yote ya Gosheni, Shefela,+ Araba,+ na eneo lenye milima la Israeli na maeneo yake ya Shefela,*
44 Yehova akawapa pia amani katika nchi yote, kama alivyowaapia mababu zao,+ na hakuna adui hata mmoja kati ya maadui wao wote aliyeweza kuwashinda.+ Yehova aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.+