Yoshua 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Siku ya saba wakaamka asubuhi na mapema, wakalizunguka jiji kama kawaida. Ni siku hiyo peke yake ambayo walilizunguka jiji mara saba.+ Yoshua 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi watu wakapaza sauti pembe zilipopigwa.+ Na mara tu watu waliposikia sauti za pembe na kupiga kelele kubwa za vita, ukuta ukaanguka chini.+ Kisha kila mtu akaingia jijini moja kwa moja, nao wakaliteka.
15 Siku ya saba wakaamka asubuhi na mapema, wakalizunguka jiji kama kawaida. Ni siku hiyo peke yake ambayo walilizunguka jiji mara saba.+
20 Basi watu wakapaza sauti pembe zilipopigwa.+ Na mara tu watu waliposikia sauti za pembe na kupiga kelele kubwa za vita, ukuta ukaanguka chini.+ Kisha kila mtu akaingia jijini moja kwa moja, nao wakaliteka.