Yoshua 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Yoshua akateka majiji yote ya wafalme hao, naye akawakamata wafalme wao wote, akawapiga kwa makali ya upanga.+ Akawaangamiza,+ kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa ameamuru.+
12 Na Yoshua akateka majiji yote ya wafalme hao, naye akawakamata wafalme wao wote, akawapiga kwa makali ya upanga.+ Akawaangamiza,+ kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa ameamuru.+