2 “Wachukue wanaume 12 kutoka kati ya watu, yaani, mtu mmoja kutoka katika kila kabila,+ 3 na uwaamuru hivi: ‘Chukueni mawe 12 kutoka katikati ya Yordani, mahali ambapo miguu ya makuhani ilisimama tuli,+ myabebe na kuyaweka mahali mtakapolala usiku huu.’”+