12 Sasa chagueni wanaume 12 kutoka katika makabila ya Israeli, yaani, kila kabila mtu mmoja,+ 13 na mara tu nyayo za makuhani wanaobeba Sanduku la Yehova, Bwana wa dunia nzima, zitakapogusa maji ya Yordani, maji ya Yordani yanayotoka upande wa juu yatasimamishwa, yatakuwa tuli kama bwawa.”+