7 Na mpaka huo ukapanda hadi Debiri katika Bonde la* Akori+ na kugeuka kuelekea kaskazini hadi Gilgali,+ mbele ya njia inayopanda kuelekea Adumimu, ambayo iko upande wa kusini wa bonde la mto, kisha ukaendelea hadi kwenye chemchemi ya En-shemeshi+ na kufikia mwisho kule En-rogeli.+
9 Mwishowe Adoniya akawatoa dhabihu+ kondoo, ng’ombe, na wanyama waliononeshwa, kando ya jiwe la Zohelethi, lililo karibu na En-rogeli, akawaalika ndugu zake wote wana wa mfalme, na wanaume wote wa Yuda watumishi wa mfalme.