Yoshua 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+ Yoshua 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na katika eneo la kabila la Benjamini: Gibeoni+ na malisho yake, Geba na malisho yake,+
8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+